Kwa utaratibu wanafunzi walitakiwa kutoka chuoni hapo siku ya juma moss lakini wakawa hawataki kutokana kutokana na madai yao ya kutaka kuwepo kwa kizuizi kinachosababisha magari kupita kwa kasi iliyopelekea mwanachuo mwenzao kugongwa na gari ya polisi adi kufa bila ya msaada
Wanafunzi...
Habari iliyopo kwa sasa ni kuhusu kampuni inayozalisha saruji ya Twiga kutokana bidhaa zake kupendwa sana kutokana na ukongwe wake na uzoefu wa kutoa huduma ya saruji ambayo inafaa kutumika sehemu yoyote na kwa kipindi chochote yani Joto kali, mvua kubwa na sehemu zenye chem chem kubwa
kwa sasa imeonekana...
Soma habari makini kila baada ya dakika 45
JACKSON MAKINI (PREZZO)
Kitu cha kuonyesha kama amemjibu mtu kuhusu afya yake msanii maarufu Afrika Mashariki Prezzo aliamua kwenda kufanya vipimo vya HIV kwenye Hospital moja maarufu Nchini Kenya na kupata majibu ambae kwa wale waliokuwa wafikiria ndivyo...
Karrueche akiwa na Chris Brown enzi za mapenzi yao
Kendall Jenner ambae ameonekana kuvutiwa na penzi la Brown siku za ivi karibuni
Ni muda mrefu sana Chris Brown amekuwa akisifika kwa kupenda totozi wazuri na hata pale asipopenda yeye imekuwa ni kawaida kwa warembo nao kumfuata...
Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi ambaye pia ni Katibu Mkuu TAMISEMI,
Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe akitangaza Majina ya Wakuu wapya wa Mikoa
kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam
Aliyekawa mkuu wa wilaya ya Kinondoni jijini Dar...
Habari picha ni masanduku ya kupigiwa kura yakishushwa na tume ya uchaguzi ya nchini umo
Tangazo la maelekezo ya upigaji kura na baada ya kupiga kura
Wananchi wakiwa wanasubiria kwa hamu kutimiza haki yao ya msingi
Tayari hatua ya kuingia kwenye chumba cha kupigia kura...
Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili
kuwepo kwenye blogg yetu makini
yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote
piga simu kwa chochote muhimu
namba zipo apo juu