Monday, 12 March 2018

...

Sunday, 19 June 2016

 Kwa utaratibu wanafunzi walitakiwa kutoka chuoni hapo siku ya juma moss lakini wakawa hawataki kutokana kutokana na madai yao ya kutaka kuwepo kwa kizuizi kinachosababisha magari kupita kwa kasi iliyopelekea mwanachuo mwenzao kugongwa na gari ya polisi adi kufa bila ya msaada   Wanafunzi...

Monday, 25 April 2016

Habari iliyopo kwa sasa ni kuhusu kampuni inayozalisha saruji ya Twiga kutokana bidhaa zake kupendwa sana kutokana na ukongwe wake na uzoefu wa kutoa huduma ya saruji ambayo inafaa kutumika sehemu yoyote na kwa kipindi chochote yani Joto kali, mvua kubwa na sehemu zenye chem chem kubwa kwa sasa imeonekana...

Saturday, 19 March 2016

Soma habari makini kila baada ya dakika 45 JACKSON MAKINI (PREZZO) Kitu cha kuonyesha kama amemjibu mtu kuhusu afya yake msanii maarufu Afrika Mashariki Prezzo aliamua kwenda kufanya vipimo vya HIV kwenye Hospital moja maarufu Nchini Kenya na kupata majibu ambae kwa wale waliokuwa wafikiria ndivyo...

Tuesday, 15 March 2016

Karrueche akiwa na Chris Brown enzi za mapenzi yao  Kendall Jenner ambae ameonekana kuvutiwa na penzi la Brown siku za ivi karibuni  Ni muda mrefu sana Chris Brown amekuwa akisifika kwa kupenda totozi wazuri na hata pale asipopenda yeye imekuwa ni kawaida kwa warembo nao kumfuata...

Sunday, 13 March 2016

Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi ambaye pia ni Katibu Mkuu TAMISEMI, Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe akitangaza Majina ya Wakuu wapya wa Mikoa kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam Aliyekawa mkuu wa wilaya ya Kinondoni jijini Dar...

Wednesday, 17 February 2016

 Habari picha ni masanduku ya kupigiwa kura yakishushwa na tume ya uchaguzi ya nchini umo  Tangazo la maelekezo ya upigaji kura na baada ya kupiga kura  Wananchi wakiwa wanasubiria kwa hamu kutimiza haki yao ya msingi  Tayari hatua ya kuingia kwenye chumba cha kupigia kura...

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS