Tuesday, 15 March 2016

Karrueche akiwa na Chris Brown enzi za mapenzi yao
 Kendall Jenner ambae ameonekana kuvutiwa na penzi la Brown siku za ivi karibuni
 Ni muda mrefu sana Chris Brown amekuwa akisifika kwa kupenda totozi wazuri na hata pale asipopenda yeye imekuwa ni kawaida kwa warembo nao kumfuata wakihiitaji kuwa karibu kiurafiki
 Mwanamke Uyu Kendall siku chache tu alimchana aliyekawa mpenzi wa Justin Beiber kuwa yeye yuko singo na kumshangaa Selena binti mdogo alafu tayari analekodi ya kuishi kinyuma na mwanaume
 Siku chache zilizopita Karrueche amempa onyo kali mwana mitindo uyo Kendall Jenner Pichani kuwa akae mbali na Chris Brown kwani si mwanaume mzuri kwa wanawake ni ni msaliti 
Karrueche akafika mbali kabisa nha kumfaninisha Brown ni swa na mbwa kwani yeye alivumilia sana kipindi cha uhusiano wake na Brown lakini ni mtu mbaya sana kwa wanawake
akuishia apo na kusema yeye alimfanya Chris kama dhahabu kwenye maisha yake na wala akutazama kuwa Chris hana utajiri au masikini lakini mwisho wake alikuja kubaini kuwa Chris ni zaidi ya Cheater
karrueche alimaliza kwa kusema kuwa namuulumia Kendall kwani ni sawa na dada yangu alafu kuona anaenda kuweka uhai wake rehani sio vizuri

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS