Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi ambaye pia ni Katibu Mkuu TAMISEMI, Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe akitangaza Majina ya Wakuu wapya wa Mikoa kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam
Aliyekawa mkuu wa wilaya ya Kinondoni jijini Dar Es salaam Mwenye jima la kwanza kabisa amezua gumzo ni siku chache baada ya kutangaza ofa kwa walimu na leo ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa
0 comments:
Post a Comment