Soma habari makini kila baada ya dakika 45
JACKSON MAKINI (PREZZO)
Kitu cha kuonyesha kama amemjibu mtu kuhusu afya yake msanii maarufu Afrika Mashariki Prezzo aliamua kwenda kufanya vipimo vya HIV kwenye Hospital moja maarufu Nchini Kenya na kupata majibu ambae kwa wale waliokuwa wafikiria ndivyo sivyo wamepata majibu yake
HIV negative
Iyo ni post aliyo ipost msanii uyo mwenye mashabiki wengi na anetoa mziki kama burudani na sio kazi kama inavyotafsiriwa na wengi
0 comments:
Post a Comment