Saturday, 19 March 2016

Soma habari makini kila baada ya dakika 45
JACKSON MAKINI (PREZZO)
Kitu cha kuonyesha kama amemjibu mtu kuhusu afya yake msanii maarufu Afrika Mashariki Prezzo aliamua kwenda kufanya vipimo vya HIV kwenye Hospital moja maarufu Nchini Kenya na kupata majibu ambae kwa wale waliokuwa wafikiria ndivyo sivyo wamepata majibu yake
 HIV negative 
Iyo ni post aliyo ipost msanii uyo mwenye mashabiki wengi na anetoa mziki kama burudani na sio kazi kama inavyotafsiriwa na wengi


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS