Thursday, 18 June 2015


barabaa inatengenisha kati ya magari ya mwendo kasi na magari ya mwendo wa kawaida

Kijana aliyetambulika kwa jina la Mpare amegongwa na Loli alipokuwa akijaribu kuvuka barabara
kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine akiwa anavuka ndio kwenye tuta ilo kati akayumba kwa kurudi nyuma ndipo Loli lilippo mpitia
 Hapo ndipo kwenye tuta ambalo alishindwa kupanda na kuyumba na ndipo alipopitiwa na Loli ilo ambalo lilikuwa kwenye mwendo kasi sana kiasi cha kupelekea kifo cha kijana uyu aliyefahamika kwa jina la Mpare ambae shughuli zake ilikuwa ni kubeba mizigo stendi
Askali wa usalama barabarani akielekeza jambo kwa wananchi
 Askali wa usalama barabarani akijaribu kuwaelekeza jambo na hatua za kuchukua baada ya kutokea tukio ilo, adi sasa Loli alijapatikana kwani baada ya kusababisha ajali alikusimama liliondoka kabisa kwa mwendo ule ule wa kasi uliokuwa umetoka nao mkoani
Wananchi wakitahamaki kwa tukio lilotokea hapa kimara mwisho
 Foleni kubwa baada tu ya dakika chache kutokana na wananchi kuzuia magari kupita
 Hapa ni kimara mwisho na uonavyo picha ni daraja lilojengwa na kampuni ya STRABAG kwa ajili ya mradi wa mabasi ya mwendo kasi unaosimamiwa na DART hapa Dar es salaam

Tangu barabara hii ijengwe kumetokea ajali nyingi za maroli ya mafuta kupinduka kutokana na kona za ghafla pia magari yanapita kwa mwendo kasi sana

Na sasa ni mwezi moja tu tangu mbeba mizigo kugongwa na basi na Saibaba na kupoteza mguu wake mmoja hadi sasa ni vilio tu ndugu na vijana wanaomfahamu kijana mwenzao ambae hapa kimara alikuwa maarufu kutokana na ufanyaji wake wa kazi za kubeba mizigo


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS