![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj61qTfcE0g4sBhOvkcC6TifjLOls3c1uqq1si9wn_1rDQeaX54AUOGTceKQrULgK0oqcyoO_29k8aHtIOsl9GUKSPDhFBpPT4teo6yfwSmByzVKPp5CCrqgKtTQ6EbspWTgTHVyrKaFHfO/s640/10361404_906961816021915_1819355190377191895_n.jpg)
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha huduma kwa wateja cha Shirika hilo uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo hicho kilichopo Makao makuu ya Shirika barabara ya Ufukoni na Ali Hassan Mwinyi, jijini Dar es salaam, Kulia kwake ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii, Susan Omari.
Mkurugenzi
waShirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza
kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha huduma kwa wateja cha Shirika hilo
uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo hicho kilichopo Makao makuu ya
Shirika barabara ya Ufukoni na Ali Hassan Mwinyi, jijini Dar es salaam,
Kulia kwake ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa
Jamii, Susan Omari.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPQ9fryaWX9pyVchFw-b7aM599LkxONBfH6GLrwfJDlzm2k4G94cAEESTB7zaJSxN8AOInRAn2d-aZREeEyTYm2DpZB3S8YCHVzmv44RhzRduvPCWPSL1S2FkwzyyJm4Uay7qmKh_4M8as/s640/11029510_906962306021866_5293433148208985331_n.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania Sameer Hirji akielezea kwa waandishi wa habari jinsi huduma ya ulipaji kodi kwa njia ya Simu na akaunti za Benki inavyofanya kazi.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiii95kI9FemAeb3bJm9T7aMA1xF1aytK9b6dFq5MBFZaww90fyEkjdMj-0YIHzKhXt0mrN8Xml300bm6s1BOE2iP_stGIwf8OTeTaQ9nxdX023XBckwHUFaMgJ2b16CF2HGYRySK-yjd-_/s640/21673_906962179355212_5090155289058057493_n.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania Sameer Hirji akimuonyesha risiti za malipo ya pango za nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa kwa waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa malipo kwa njia ya mtandao wa Selcom
Maofisa
wa Shirika la Nyumba wanaokiendesha kituo hicho kipya cha huduma kwa
Wateja wakiwa kazini mara baada ya kuzinduliwa, timu ya kituo hicho
inaongozwa na mwanahabari Mzoefu Domina Rwemanyila
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania Sameer Hirji akielezea kwa
waandishi wa habari jinsi huduma ya ulipaji kodi kwa njia ya Simu na
akaunti za Benki inavyofanya kazi.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Selcom Tanzania Sameer Hirji akimuonyesha
mashine ya POS ya Selcom Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa
(NHC) Nehemiah Mchechu. Mashine hizo zitatumika katika ulipaji wa kodi
za majengo ya NHC.
Picha zote kwa hisani ya NHC pamoja na melezo
0 comments:
Post a Comment