Monday, 17 November 2014
Michael Joseph ameleta mapinduzi kwenye tasnia hii ya muziki wa Injili na kujizolea mashabiki kwa muda mfupi sana akiongea kwa mala nyingine kwenye maojiano Prais Pawer Radio alisema najisia faraja sana kuona mashabiki wangu wanafurahia kazi zangu, akuishia apo na kusema kwa sasa pia bado sina uongozi wa kusimamia kazi zangu kwaiyo nahitaji uongozi kuanzia sasa, wimbo huu adi sasa umeshaombwa na mashabiki kwa kipindi cha wiki moja ikiwa ikichezwa Radioni zaidi ya mala 8 kwa siku
Wasiliana kwa email rashidiajibu5sta@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment