Friday, 15 August 2014

 Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi Bernald Membe pamoja na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM,Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasili katika kijiji cha Mtama Kutoa Rambirambi kwa familia za waliofariki dunia katika ajali iliyotokea mnamo August 8 2014 katika kijiji hicho. Mungu azipumzishe roho za marehemu woote peponi




Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi Bernald Membe pamoja na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM,Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasili katika kijiji cha Mtama Kutoa Rambirambi kwa familia za waliofariki dunia katika ajali iliyotokea mnamo August 8 2014 katika kijiji hicho. Mungu azipumzishe roho za marehemu woote peponi

Picha na taarifa zote kwa msaada wa
Clarence Chilumba Masasi TV

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS