
OMMY DIMPOZY alianza kwa kuwarushia mashabiki kofia ikafuata miwani akarusha na koti
alilokavaa, alipoona aikutosha ndipo akaingiza mkoo mfukoni na kutoa wekundu wekundu
baadhi ya watu walijuliza jamaa amelipwa bei gani kwenye shoo hii na kupelekea kumwaga fedha nyingi ivi
mashabiki bila nyie pesa izi atuzipati
wakimbizana kizidaka pesa
0 comments:
Post a Comment