mmoja wa wasanii chipkizi ambao walipata fulsa ya kwenda jukwaani kupiga shoo

ulinzi kama unavyo askali pembeni pale

wasanii chipkizi wakiandika majina teali kwa kwenda kuonyesha uwezo wao jukwaani

sehemu maalumu kwa ma DJ

baadhi ya wananchi wakiwa wamekaa kwenye takataka wako teali hata kwa kuziba pua kwa harufu mbaya
0 comments:
Post a Comment