Thursday, 22 May 2014


wakazi wa kimara bonyokwa sasa ni furaha tu kama zamani kwani kulikuwa na usumbufu
mkubwa hasa kwa wale wenye usafili wa gari, pikipiki na kadhalika kwani
njia ilikuwa ni lazima wazunguke kupitia barabara ya muda
iliyokachongwa na STRABAG ya kuzunguka kwa maungucha kuelekea 
UWANJA WA TANESCO ni mbele kidogo ya 
stendi ya daradara kimara mwisho jijini Dar Es S alaam

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS