![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhmK9pIXRI3E0QGA-fGdKJ88nW0-JWaG8WlebMdGOu11bEpMdLjFCYn_-cP5KpjAChkEXATbNQuVqR4djKHkd4B4kpc5WWwTvEy2-ZxILNgbOWK9EUbCGatVGBCNHqzXm5lQtWjSbKHxKYC/s640/1291791.jpg) |
Mburu |
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina Geoffrey Mburu ambae anajiusisha
mapenzi ya jinsia moja amejisalimisha mikononi mwa polisi kutokana na
kutafutwa kwa kosa la kumtumia ujumbe wa maandishi mtangaza na mwandishi
wa kituo cha radio, mtangazaji uyo aliyejulikana kwa jina la Victor
Kinuthia ambae anafanya kwenye kampuni ya Royal Media Services. Kijana
uyo alipo tuma ujumbe wa maandishi ndipo kiruthi alipoamua kumfungia ili
asitume tena ujumbe wa maandishi, lakini Mburu alipoona ujumbe auendi
wa maandishi ndipo alipo tuma ujumbe wa sauti uliopelekea mwandishi uyo
kwenda kutoa taarifa polisi, mtuhumiwa lipojisalimisha na kufikishwa
katika kituo cha polisi Murang’a alikili na ndipo alipo takiwa kulipa
faini
0 comments:
Post a Comment