Thursday, 11 February 2016

Mburu
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina Geoffrey Mburu ambae anajiusisha mapenzi ya jinsia moja amejisalimisha mikononi mwa polisi kutokana na kutafutwa kwa kosa la kumtumia ujumbe wa maandishi mtangaza na mwandishi wa kituo cha radio, mtangazaji uyo aliyejulikana kwa jina la Victor Kinuthia ambae anafanya kwenye kampuni ya Royal Media Services. Kijana uyo alipo tuma ujumbe wa maandishi ndipo kiruthi alipoamua kumfungia ili asitume tena ujumbe wa maandishi, lakini Mburu alipoona ujumbe auendi wa maandishi ndipo alipo tuma ujumbe wa sauti uliopelekea mwandishi uyo kwenda kutoa taarifa polisi, mtuhumiwa lipojisalimisha na kufikishwa katika kituo cha polisi Murang’a alikili na ndipo alipo takiwa kulipa faini

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS