Simba akiwa kwenye doria yake ya kusaka chochote kitu mala tu baada ya kuona kwa mbali grupu la wanyama aina ya nyumbu wakiwa kwenye msafara wao kwa wale waliowai kutembelea mikumi nadhani watakuwa wanajua ni jinsi gani wanyama hawa wanavyotembea kwa makundi
Kwa bahati mzuri simba alifanikiwa kutege mtego wake wa kukaa pembeni mwa njia wanaoitumia kupita wanyama hao kuelekea mtoni na maeneo hayo ayo ndio watalii na wawindani upendelea kwenda kuwinda na kupiga picha au kujionea wanyama na tabia zao japo kwa muda mfupi tu
Kwa bahati mzuri simba alifanikiwa kutege mtego wake wa kukaa pembeni mwa njia wanaoitumia kupita wanyama hao kuelekea mtoni na maeneo hayo ayo ndio watalii na wawindani upendelea kwenda kuwinda na kupiga picha au kujionea wanyama na tabia zao japo kwa muda mfupi tu

Simba wa kwanza kati yao alianza kwa kuingia msafara uo na kufanikisha kuwatawanya ndipo walipofanikiwa pia kubaki na Nyumbu wawili ambao walianza kuwashughulikiwa, wakati zogo ilo likiendelea watalii na wawindani walianza kwa kuwashangaa na kupiga picha nyingi sana uku wakiwaangalia kwa umakini kwa lengo la kutaka kujua kama simba ataendela kuwa mshindi siku zote kwa kila ananchokitaka,
Baada ya piga nikupige ya muda mrefu atimae Nyumbu walifanikiwa kuwazidi akili simba na kufanya simba watafute mbadala mungine wa chakula ambao jirani tu kuliwa na mzoga aikuthibitishwa kama ulikuwa umeharibika au ni mzima ila simba jike ao walianza kuushambulia vizuri
Mala nyingi simba dume upendelea sana kula kile ambacho amekiwinda mwenyewe tofauti na simba jike ambae mala kadhaa amezoea kuletewa chakula ndio maana aikuwa ajabu kuona wanakula mizoga
0 comments:
Post a Comment