Saturday, 19 December 2015

 Kama ulizani ni Tanzania pekee ndio inatumia wasanii wake kwenye kipindi cha Uchaguzi basi ni sio pekee kwani hata Uganda nao wameendelea kuwatumia wasanii wakubwa
 Picha ni Bebe Cool akiwa kwenye kampeni sambamba na msanii wa kundi la Goodlyfe ambae pia ni mdogo wake na Jose Chameleon
Kampeni izo ni za kumnadi mgombea wa kiti cha uraisi kupitia chama cha NRM ambae mgombea wake ni Raisi Mseveni ambae kwa sasa ndie raisi wa Uganda na Bebe Cool amemmwagia sifa nyingi tu mala baada ya kampeni kwisha alisema haya

And this was the day today in Tororo district.
This is to comfirm to you my fellow Ugandans that monitor publication findings where right.
The old man is still loved for the people who appreciate the little they have in this peaceful UGANDA.

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS