Nchi za Afrika kumekuwa na biashara ya uuzaji wa chuma chakavu, sasa kwa hali hii ya chi za wenzetu kama vile China Japana Marekani kuwa na Idadi kubwa ya uzalishaji wa magari pia kuwa na idadi kubwa ya magari mabovu
Wewe binafsi unalizungumziaje hili la kuwa na magari mengi mabovu kama uonavyo pichani ni baadhi tu kati ya yale ambayo tumejaribu kuyapitia kwenye mitandao mbali mbali inayohusu uchafu wa namna hii
endelea kuangalia picha zaidi apo chini
ayo yote ni magri yakiwa yameharibika na hayana thamani tena kwa sasa yani ni uchafu tu
ahahahahah ndugu zangu wabongo wangeshambulia machuma ayo kwa ajili ya kuuza srepa au chuma chakavu
Wewe binafsi unalizungumziaje hili la kuwa na magari mengi mabovu kama uonavyo pichani ni baadhi tu kati ya yale ambayo tumejaribu kuyapitia kwenye mitandao mbali mbali inayohusu uchafu wa namna hii
endelea kuangalia picha zaidi apo chini
ayo yote ni magri yakiwa yameharibika na hayana thamani tena kwa sasa yani ni uchafu tu
ahahahahah ndugu zangu wabongo wangeshambulia machuma ayo kwa ajili ya kuuza srepa au chuma chakavu
0 comments:
Post a Comment