Saturday, 23 May 2015

 AliKiba amewataka radhi mashabiki zake kutokana na mwingiliano wa ratiba na kusema haya kwa kifupi tu

Hallo Samahani Kwa Kutokua Na show This Weekend Ni Kwa Sababu Zilizoko Nje Ya Uwezo Wangu Kwa Hivyo Basi Watu Wangu Wa U.S Washington DC You Will See Me LIVE on SATURDAY JUNE 6 ...For More Infos Follow@dmkglobal @pligate ‪#‎KingKiba‬
 unaweza ku LIKE page alisi ya AliKiba yenye jina https://www.facebook.com/pages/Alikiba-blood-fans/788824984528690?fref=nf
 Atimae mwanamuziki anaependwa wakiume ameibuka pia AliKiba mkali wa Mwana daresalaam

ametoa shukrani zake za zati kwa wote wale ambao wamempigia kura na wale mashabiki ambao walikuwa wanamchango kwa namna nyingine kufanikisha kiba anashinda
Tuzo aliyoshinda kwenye tuzo za watu mwaka 2015

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS