Thursday, 2 April 2015

Mshukiwa wa Shambulio la Garissa University College
Mohamed Konu
Kutokana na shambulio liliofanyika kwenye majengo ya Garissa University College na kupeleka kufanyika mauwaji ya baadhi ya wanafunzi baada ya kuidhibiti Hostel ya Wanawake na kuua ovyo
teali jeshi ilo la Kenya limembaini kiongozi mkuu wa Shambulio ilo

Kwa sasa teali dau kubwa la feza za kenya thamani ya sh milioni 20 za kenya zimetangazwa ikiwa kama ni zawadi kwa yeyeto atakae toa taarifa ya kumuona Mohamed Konu popote pale alipo

na kuwataka wananchi kukaa nae mbali uyu mtu

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS