Wednesday, 18 March 2015

polisi wakizuia maandamano Cairo, Misri.
Kwa mujibu wa 
Mwendesha mashitaka wa serikali ya Misri alimfungulia mashitaka afisa wa polisi kwa tuhuma za kumpiga risasi mwanamke mmoja wakati wa maadamano ya amani katikati ya mji mkuu Cairo.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Ufaransa, AFP, sehemu ya kifo cha Shaima Al-Sabbagh, ilirekodiwa katika mkanda wa video na ilimsababisha rais Abdel Fattah Al-Sisi, wa Misri kutamka hadharani kwamba aliyehusika lazima afikishe katika mamlaka za haki.
Al-sabbagh, alifariki kutokana na majeraha wakati polisi walijaribu kuwatawanya waandamanaji wachache katika kuadhimisha miaka mine ya mapinduzi ya Januari 25.
Watu waliandamana kukumbuka wenzao waliokufa wakati wa maadamano yaliyomuondoa madarakani rais wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak.

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS