Rais mpya wa klabu ya Simba Evans Aveva ametangaza kuwasimamisha
uanachama, wanachama wake 69 waliokwenda mahakamani kuzuia uchaguzi mkuu
wa klabu hiyo usifanyike.
Aveva ametangaza maamuzi hayo leo katika makao makuu ya klabu hiyo na amesema kuwa wanachama hao walikiuka katiba ya klabu hiyo pia uamuzi huo unafuatia kikao cha kamati ya utendaji ya Simba kilichofanyika kujadili suala hilo.
Aveva ametangaza maamuzi hayo leo katika makao makuu ya klabu hiyo na amesema kuwa wanachama hao walikiuka katiba ya klabu hiyo pia uamuzi huo unafuatia kikao cha kamati ya utendaji ya Simba kilichofanyika kujadili suala hilo.
0 comments:
Post a Comment