Thursday, 3 July 2014

Aliyekuwa kiungo wa timu ya Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' ameachana na timu hiyo na kujiunga na Azam FC.
Athumani Iddi 'Chuji' leo asubuhi ameungana mazoezini na hiyo klabu bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS