Mabalozi
wamekuwa wakitumika sana na chama cha cha mapinduzi kwa kuwatumia katika
kutisha wananchi wanao kuwa wanachama wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA
kwa kuwasingizia kesi, pia hutumiwa kama ni viongozi wa kiserikali kitu
ambacho kisheria mabalozi siku zote ni viongozi wa vyama kwa shughuli
za vyama na si kwa shughuli za kiserikali, lakini imekiwa ni tatizo
kubwa sana kwani vijijini wananchi
hawana uelewa kabisa wanawasujudia
mabalozi km viongozi ambao waliwachagua wakati sio kweli, sheria ya
serikali za mitaa kwa ngazi ya kijiji inatambua uwepo wa nafasi ya
mwenyekiti kitongoji/mtaa,mwenyekiti kijiji na wajumbe wa serikali na
hizo nafasi zote zinagombaniwa na watu kuchaguliwa na mikutano mikuu ya
uchaguzi serikali za mitaa, wakati mabalozi
wanapatika kwa kuchaguliwa
na wanachama wa vyama vyao, sasa kama kichwa cha habari changu ni
research niliyofanya kwa takribani 80% ni kikwazo kwa ustawi wa
demokrasi, kwani wamekuwa wachungaji/mashehe kusuruhisha ndoa za
wananchi lakini pia wamekua majaji na màhakimu kwa kuhukumu kesi pindi
inapotokea wananchi wawili kutofauti, wenyeviti wa vitongoji/mitaa
wameshindwa kuwajibika sababu mfumo Huu umekuwa wa kawada kwa sababu unakinufaisha
chama tawala CCM,, nikiwa kama kiongozi wa jimbo la Ismani ndilo tatizo kubwa kwa nchi
nzima!
0 comments:
Post a Comment