Monday, 7 July 2014

  Vyama vikuu vya upinzani nchini Kenya vimetaka nchi hiyo kuondoa majeshi yake nchini Somalia.
Katika mkutano wa hadhara jijini Nairobi, muungano wa vyama wa CORD umetaka pia tume ya uchaguzi ya nchi hiyo kuvunjwa. Wito huo umetolewa kwenye mkutano wa hadhara uliokuwa ukiongozwa na waziri mkuu wa zamani Raila Odinga na kuhudhuriwa na maelfu ya wafuasi wake kwenye viwanja vya Uhuru.
Kenya ilipeleka majeshi yake nchini Somalia mwaka 2011 kupambana na al-Shabab, lakini tangu wakati huo kumekuwa na mashambulio mengi nchini Kenya.
CORD pia imetaka kuwepo na kura ya maoni kwa kile ilichotaja kuwa masuala muhimu.
ULINZI KAMA UONAVYO KWENYE VIWANJA VYA UHURU PARK
ASKALI ANAANGALIA MKUTANO BAADA YA KUANGALIA PEMBENI KIULINZI ZAIDI 
 ulinzi umekamilika sabasaba  leo
VIWANJA VYA UHURU PARK
VIWANJA VYA UHURU PARK WANANCHI WAKIWA WANASHANGILIA KWA KUFANYA KUSIKILIZA MKUTANO UNAOFANYIKA LEO

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS