Friday, 27 June 2014

 apa ni sehemu ya njia  ya wakazi wa Nanganga wanapopita na kuelekea Chuu kwenye mashamba yao
 mamba uyu amakuwa akijitokeza mala kwa mala na kuwapa hofu wakazi wake
eneo hili na njia kubwa kwa wakazi wanaolima mashamba yao maeneo ya Chuu na Ng'ongoro
mkazi wa Nanganga ambaye ulima mashamba yake ya mpunga ,Mahindi, Mtama, Mihogo na Bustani ndogo ndogo hasa kwa kipindi hiki cha kiangazi

akizungumza kwa uchungu : Wakazi wa Nanganga hii ya kanisani au wengi upenda kuita Nanganga ya Masasi tunateseka sana kwani asilimia kubwa mahitaji yetu yote tunayapata sehemu moja inaitwa Ng'ongoro au Chuu ndiko mashamba yetu yapo tatizo ni kwamba pale mto Lukuledi kuna mamba amekuwa 
akitishia sana uhai wa watu mala kwa mala anaonekana pale na ukizingatia ndio njia kuu ya sisi kwenda mashambani kwetu, kipindi cha kifuku uwa tunahamia shambani sababu ya kujaa maji pia mamba uzidi kuzagaa lakini kwa sasa maji yamepungua kabisa lakini imekuwa tatizo sana kwa sasa,

alizungumzia pia swala la magemu ambao mala kadhaa uwa wanakuja kuwasaidia panapokuwa na tishio la wadudu kama ivyo, akatolea mfano kuwa kuna kipindi Kiboko alikuwa anatishia sana watu ikawa mashambani atuendi aidha kama tukienda inabidi tuwe wengi sana kuwe na makelele apo tunaweza kwenda na kurudi salama ila kwa sasa tunateseka sana, 
 NJIA IYO INAITWA KWA MOROKO PANATISHA SANA ILA ATUNA JINSI
haya maji anasema yamepungua ila ni lazima uvue nguo wakati unavuka akuna kivuko chochote labda kama tulivyozoea kwa maeneo mengine kama ngalawa au bodi hapa ni kuingia mzima mzima

uwongozi wa kijiji unathibitisha tatizo hili


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS