Friday, 27 June 2014

Rais Barack Obama wa Marekani ameonyesha kuwa ni kwa jinsigani michuano ya kombe la Dunia ni muhimu, kwa kuangalia mechi ya taifa lake na Ujerumani akiwa angani
kwenye Ndege yake ya Air Force One.
Rais Obama alikuwa akitokea Mji wa Maryland kwenda Minnesota wakati Marekani ilipokuwa inacheza mchezo huo muhimu na Ujerumani na kujikuta ikifungwa bao 1-0 huku Thomas Muller akipachika bao lililoizamisha Marekani huku Obama akishuhudia kwenye ndege ya Air Force One.
#mbeyafm#

Related Posts:


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu