Thursday, 5 June 2014

 Muda huu; Mbeya CIty FC yaingia Mkataba wa Udhamini na Kampuni ya Binslum Tyres CO. Ltd.. Mkataba huo ni wa Miaka Miwili wenye Thamani ya Tsh. 360.!! Mkataba umeanza Rasmi sasa., Kiasi hicho kitatolewa kila Mwezi kulingana na Makubaliano waliojiwekea.! Anayezungumza hapo ni Katibu wa Mbeya City FC; Emanuel Kimbe, na huo utakuwa muonekano Mpya wa JEZI za Mbeya City FC Msimu ujao

sos MBEYA FM


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS