Friday, 2 May 2014


sababu ya kupinduka basi mali ya kapuni ya Samgela ni kulitokana na taili ya mbele
kuchomoka ni la kulia na kusababisha kupinduka na kusababisha kifo cha dereva 
na majeruhi kadhaa wapo walio kapelekwa dodoma hospital na wengine kupatiwa matibabu
katika hospital ya gailo

mungu aulaze mwili wa marehemu mahali pema peponi ameeni

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS