
Gailo
Basi la kampuni ya Samgela lenye safari zake Dar ,Dodoma Mvumi
limepinduka leo mida ya saa 5 ya asubuhi maeneo ya Gairo
na kupelekea dereva kufa papo apo
chanzo cha ajali iyo bado akija julikana kilichopelekea gari ilo kupinduka
Kati ya ndugu wa majerui mmoja akiongea kwa njia ya simu amesikitishwa sana
na tuiko ilo, akizungumza asa mdogo wake ameumia sehemu ya mikono yote miwili
mpaka sasa idadi maalumu ya walio kufa aijajulikana tofauti na ile ya
Kufariki dereva pekee na kati ya majerui wamepelekwa katika
hospital ya Gailo
tutawajulisha zaidi
0 comments:
Post a Comment