Thursday, 11 June 2015

Kariakoo jijini Dar es salaam
 Ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo kasi maeneo ya kariakoo barabara ya kutoka raundi abauti adi kuja faya ukiwa unatokea Ilala boma na uo ndiomwonekano wake mpya

Ukirudi nyuma kidogo unakuja Msimbazi ndiko kinapojengwa kituo cha magari ya kwenda Mbezi Kimara, Ubungo na kwingineko

Na ukienda mbele kidogo unafika kituo cha daradara cha zamani cha kwenda Mbagara,Temeke na Tandika, Mbagara KUU/Rangi 3
Hapa ilikuwa ni raundi abauti kati ya magari ya kutoka Ilala kwenda Mnazi Mmoja na magari kati ya Temeke Muhimbili kwaiyo mgawanyo ulikuwa upo hapa lakini kwa sasa wajenzi wa barabara hiiya mradi wa magari yaendayo kasi wamebadili mfumo kama uonavyo barabara imenyooshwa adi kamata (OFISI ZA UDA)     
                    

      

Kwa hali iyo sasa wasafiri wa kwenda mbagara, Temeke na Tandika watakuwa na kituo maalumu cha kupandia magari tofauti na ilivyo kwa mala ya kwanza kwani ilikuwa akuna kituo maalumu

Sehemu zingine ambazo Kariakoo zitakuwa zimepata kituo maalumu cha usafiri ni pamoja na kituo cha magari ya kwenda Ubungo, Mbezi Kimara ,Tegeta

Kwaiyo wale wengine wataendelea kutumia njia zingine zitakazo ruhusiwa na mamlaka husika

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS