Zaidi ya watu milioni 14 katika eneo la mashariki mwa Afrika wanahitaji
msaada wa chakula kutokana na uhaba wa mvua na mizozo mbalimbali, miaka
mitatu tangu kutokea ukame uliokithiri kwenye ukanda huo.
MIFUGO MBALI IKIWA IMEKUFA KWA KUKOSA CHAKULA KUTOKANA NA UKAME
Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloratibu utoaji wa misaada ya kibinaadamu-OCHA, mashariki mwa Afrika, Matthew Conway amesema hali ni ya mashaka. Grace Kabogo amezungumza na Mratibu wa Ushirikiano wa OCHA, Luluwa Ali, ambaye kwanza anaanza kuelezea jinsi shirika hilo lilivyojiandaa kukabiliana na tatizo hilo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
MIFUGO MBALI IKIWA IMEKUFA KWA KUKOSA CHAKULA KUTOKANA NA UKAME
Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloratibu utoaji wa misaada ya kibinaadamu-OCHA, mashariki mwa Afrika, Matthew Conway amesema hali ni ya mashaka. Grace Kabogo amezungumza na Mratibu wa Ushirikiano wa OCHA, Luluwa Ali, ambaye kwanza anaanza kuelezea jinsi shirika hilo lilivyojiandaa kukabiliana na tatizo hilo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
0 comments:
Post a Comment