Monday, 11 August 2014

Zaidi ya watu milioni 14 katika eneo la mashariki mwa Afrika wanahitaji msaada wa chakula kutokana na uhaba wa mvua na mizozo mbalimbali, miaka mitatu tangu kutokea ukame uliokithiri kwenye ukanda huo.
 MIFUGO MBALI IKIWA IMEKUFA KWA KUKOSA CHAKULA KUTOKANA NA UKAME

 Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloratibu utoaji wa misaada ya kibinaadamu-OCHA, mashariki mwa Afrika, Matthew Conway amesema hali ni ya mashaka. Grace Kabogo amezungumza na Mratibu wa Ushirikiano wa OCHA, Luluwa Ali, ambaye kwanza anaanza kuelezea jinsi shirika hilo lilivyojiandaa kukabiliana na tatizo hilo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS