Saturday, 12 July 2014

MRS DIAMOND WEMA SEPETU AKIWAKILISHA VILIVYO
KILA SHABIKI ALIKUWA NA MANENO YA KUSEMA NA KUMWACHA DIAMOND MDOMO WAZI KWANI AKUJUA AMSIKILIZE YUPI NA AMJIBU YUPI
MLINZI WA DIAMOND ALIKUWA NA KAZI NGUMU SANA YA KUMLINDA 
DIAMOND PLATNUMZ A.K.A CHIBU DANGOTE
WAANDISHI WA HABARI NAO AWAKUWA NYUMA
MABANGO MBALI MBALI YALIOBEBA UJUMBE MBALI MBALI
Nikwa mda mlefu sasa nilikuwa nje ya nchi kwa maswala ya Music,ikiwemo kushiriki utolewaji wa Tuzo za BET zilizofanyika L.A nchini Marekan,na jana ndiyo siku niliyorudi,kiukweli sikutegemea kukutna na nilichokikuta,umati mkubwa wa watu wakliokuwa wamejitokeza kunipokea,kiukweli imenipa faraja sana ,kuona ji kias gani Watanzania wenzangu ,wamekuwa na uzarendo kwangu kiasi hiki,nawashukuru wote walioacha kazi zao,ama kuvunja ratiba zao,na kuja airport kunipokea,Ahsanteni na ninawapenda daima (kauli ya Diamond Platnumz)

picha zote kwa isani ya WCB

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS