Friday, 18 July 2014

ndege iyo ya Malaysia
Hasira na ghadhabu zimeendelea kutanda kote ulimweguni baada ya ndege ya abiria ya Shirika la Ndege la Malaysia kudunguliwa katika anga ya mashariki mwa Ukraine, ikiwa na abiria karibu 300. Maswali mengi yameendelea kuulizwa juu ya nani aliyefanya hujuma hiyo ya kusikitisha,
wananchi wakilia kwa uchungu sana baada ya kuwapoteza ndugu zao
 Rais wa Urusi Vladimir Putin

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS