Wednesday, 2 July 2014

 Mawaziri wa afya wa nchi 11 za Afrika Magharibi na wataalam wa kimataifa wanatathmini leo na kesho kuanzisha mpango maalum wa kukabiliana na ugonjwa hatari wa homa ya Ebola. Kulingana na takwimu za shirika la afya duniani watu 759 wameathirika kutokana na ugonjwa huo na wengine 467 wamekufa katika nchi 3 ambazo ni Sierre Leone, Guinea na Liberia


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS