Saturday, 26 July 2014

KWA UMAKINI SANA AKIPUNGA MKONO WA SALAMU KWA WANANCHI WAKE
AKIPEANA MIKONO NA WAZEE MBALI MBALI WA MWANZA
MH MWIGULU NCHEMBA AKIHUTUBIA WANANCHI MKOANI MWANZA
UMATI WA WANANCHI WALIJITOKEZA KWA WINGI SANA
MSAFALA WA PIKI PIKI NAO AUKOSEKANI
AFANDE AKISHIKA MWAVURI KWA UMAKINI KABISA KIONGOZI WAKE ASILOE NA MVUA
 MVUA IKIWA INAYESHA ALIENDELA KUFANYA MIKUTANO
NA ALIMALIZA KWA KUTOA SHUKRANI IZI HAPA :

Asanteni Sana Wanamwanza na Watanzania Wote Kwa Mkutano Mzuri na Mkubwa sana.Pia asanteni vyombo vya Habari Kwa Ushirikiano wenu.
Mabadiriko ni Vitendo.

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS