Tuesday, 17 June 2014

Leo ni siku ya Umoja wa Mataifa ya kupambana na kuenea kwa ukame na majangwa ulimwenguni, ambayo yamekuwa yakiongezeka na kuvuruga shughuli za kuichumi na za kijamii katika maeneo mbali mbali ulimwenguni. Matatizo hayo yapo hapa kwetu Tanzania na katika kanda ya Afrika mashariki kwa ujumla.

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS