Saturday, 21 June 2014

KIJANA HEMEDI AKIGONGA DEBE
HEMEDI AKIWA KAZINI MAENEO YA KIMARA MWISHO
DAR TO MOROGORO
  MBEZI TO  MLANDIZI

kijana alipata feza za ulithi walizouza kiwanja maeneo ya kimara matangini
na katika mgao wa fedha alizo pata ndipo akaamua kununua
kiwanja apo watu walimsifu kwani hata ndugu zake nao walinunua viwanja 
na kujenga nyumba adi leo
lakini yeye aliamua kuto jenga na kununua magari pesa iliyobaki

kama ujuavyo mtumia vilevi ni wachache wanaodumu kwenye biashara
atimae jamaa
mambo yalianza kwenda kombo akaanza kuuza gari moja adi lingine
baada ya kumaliza magari yote akauza na kile kiwanja 
ela zote kupigia gozo ndipo alipoamua kurudi barabarani 
kugonga debe


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu