Monday, 9 June 2014

Mchungaji Carl Lentz Amemsaidia Mwanamuziki Justin Bieber kufuta dhambi zake zote na kuzaliwa mara ya Pili kwa kubatizwa na kujiunga rasmi na imani ya kikristo. Ubatizo ambao umefanyika bafuni kwa rafiki yake.
Mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 20 amechukua uamuzi huo iki ni wiki siku chache zimepita tangu zivuje video zinazomuonesha akifanya utani wa kiubaguzi wa rangi alipokuwa na umri wa miaka 15.
Mchungaji Carl Lentz aliyembatiza Justin Bieber ameiambia TMZ kuwa alitumia wiki moja kufanya mafundisho ya kina ya biblia na Justin Bieber mwezi uliopita kabla video za kibaguzi hazijavuja, na ilikuwa ni siku chache kabla hajafuatwa na mtu aliyetaka ampe dola milioni moja ili asizitoe video hizo.
Ameeleza kuwa Justin Bieber amekuwa akisoma Biblia mara kwa mara na kuhudhuria mafundisho ya dini lakini alikuwa hajapata kanisa ambalo angeweza kubatizwa bila kuingiliwa hivyo aliamua kuchagua kufanya ubatizo huo ndani ya bafu la rafiki yake(ndani ya bathtub) ili kuweka usiri.
STORY KUHUSU UBATIZO WA JUSTIN BIEBER ULIOFANYIKA  BAFUNI KWA RAFIKI YAKE;

Mchungaji Carl Lentz  Amemsaidia Mwanamuziki Justin Bieber kufuta dhambi zake zote na kuzaliwa mara ya Pili kwa kubatizwa na kujiunga rasmi na imani ya kikristo. Ubatizo ambao umefanyika bafuni kwa rafiki yake.

Mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 20 amechukua uamuzi huo iki ni wiki siku chache zimepita tangu zivuje video zinazomuonesha akifanya utani wa kiubaguzi wa rangi alipokuwa na umri wa miaka 15.

Mchungaji Carl Lentz aliyembatiza Justin Bieber ameiambia TMZ kuwa alitumia wiki moja kufanya mafundisho ya kina ya biblia na Justin Bieber mwezi uliopita kabla video za kibaguzi hazijavuja, na ilikuwa ni siku chache kabla hajafuatwa na mtu aliyetaka ampe dola milioni moja ili asizitoe video hizo.

Ameeleza kuwa Justin Bieber amekuwa akisoma Biblia mara kwa mara na kuhudhuria mafundisho ya dini lakini alikuwa hajapata kanisa ambalo angeweza kubatizwa bila kuingiliwa hivyo aliamua kuchagua kufanya ubatizo huo ndani ya bafu la rafiki yake(ndani ya bathtub) ili kuweka usiri.


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS