
MADEREVA WA BODA BODA WAKIWA WAMEMBANA DEREVA
ALIYEMGONGA UYU MAMA NA KUAMUA KUKIMBIA
LAKINI KWA USHIRIKIANO WA MADEREVA BODA BODA
ATIMAE WALIMKAMATA
KIJANA MWENYE BAASHA NDIYE DEREVA WA GARI ALIYEMGONGA MAMA
MTU MZIMA KISHA KUMKIMBIA
kijana akiwa anatoka maeneno ya mbezi kuelekea ubungo
alimgonga mama uyo maeneo ya kimara mwisho,
baada ya kuona amemgonga ndipo alipoingia mtaani kwa lengo la kumkwepa kumsaidia yule mama
ndipo alipoelekea barabara ya jeshini kimara matangini
ambako njia aliyokuwa anaenda nayo ilikuwa aitoki kwani ye ni mgeni kwenye njia ile na akujua
kama mbele aitoki ndipo madereva wa boda boda walipo mkamata na kumpeleka
kituo cha polisi kimara mwisho
0 comments:
Post a Comment