Tuesday, 10 June 2014


  BAJAJI IKIWA INAINULIWA
WASAMALIWA WAKISAIDIA KUINUA BAJAJI
AJALI HII AIJAUWA MTU
GARI AIJNA YA NOA AMBAYO NDIO CHANZA CHA AJALI HII
 SEHEMU YA BIDHAA AMBAZO ZILIBEBWA KWENYE BAJAJI HII
BAJAJI IKIWA IMEHARIBIKA VIBAYA SANA

mashuhuda wa ajali hii wamelaani uzembe wa dereva wa gari aina ya noa ambaye alikuwa anatoka paking na kuingia barabarani
akiwa anatokea akafunga breki kuipisha bajaji wakati bajaji ikiwa inaelekea kupita
noah nayo ikaanza safari dereva bajaji alipojaribu kumkwepa ndipo akaenda kuigonga noa kwa
nyuma na kupelekea bajaji iyo kupoteza mwelekeo na kufikia hatua ya kupinduka na kugeukia ilikotoka

adi ripota wetu anaenda mitambona dereva wa noa ajaongea chochote

0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS