Sunday, 25 May 2014

wakazi wa Lindi na Mtwara wamepata neema ya bei ya ufuta 
mwaka uu kwani 
bei ya kwanza ni sh 3000 @ kg

mmoja wa wakulima wa ufuta kijiji cha Chipite akiongea leo
na millanzy blog amefurahishwa na bei iyo
na kusema hofu ni kuusu watu kuibiwa
ukiwa bado aujakauka
kati ya tabia ambayo baadhi ya vijana wasio penda kujishuhulisha wo upenda kuwaibia watu mazao shambao zaidi ni ile mida ya usiku


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS