Sunday, 25 May 2014

 Mahakama kuu nchini Malawi imeamuru tume ya uchaguzi nchini humo kuendela kuhesabu kura na kupuuza maagizo ya rais wa sasa Joyce Banda ya kufutilia mbali matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanywa mapema juma lililopita.
Mahakama inasema Banda hanauwezo wa kuamrisha matokeo hayo yapuuzwe.

Related Posts:


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu