Sunday, 11 May 2014

sehemu kubwa ya wakaazi wanaoishi kwenye maeneo haya 
ya jangwani si wale wenye maeneno haya
 
ukweli ni kwamba wahusika walishahama siku nyingi sana 
na wanaoendelea kuishi apa ni wale wanaojihusisha na uporaji na kujificha apa
 
kwa hali ya kawaida uwezi kuishi sehemu yenye kujaa maji mala kwa mala
 
kwa mtazamo wako wewe unaweza kuhishi hapa
 
hapa ni sehemu ya daraja la jangwani jiji Dar Es -salaam

na lipota wetu


0 comments:

Post a Comment

Translate

facebook

TANGAZA HAPA

KWA HABARI MAKINI

Napokea maoni muhimu kwa pale unapoona apakustahili kuwepo kwenye blogg yetu makini yenye lengo la kukuunganisha pamoja na kuelimishana kwa yale mazuri yote piga simu kwa chochote muhimu namba zipo apo juu

NEWS